This story unfolds amidst the traditional social and cultural life of the people inhabiting Ukerewe in northern Tanzania. It tells of the lives of Mr Mr Myombekere and his wife Bugonoka whose love survives despite their failure to conceive children in a polygamous society where sterility is stigmatised, bearing children is a central source of meaning in life, and a man is expected to marry additional women until he produces a child. This couple remain committed only to one another and search for a cure to their ailment. Their actions strengthen their relationship, and they become an exemplary...
This story unfolds amidst the traditional social and cultural life of the people inhabiting Ukerewe in northern Tanzania. It tells of the lives of Mr ...
Ni katika mwaka wa 1895, Kilihona alipokuwa msichana wa miaka kumi na tatu, tayari "amekwishagunduliwa" na wazazi wenye wavulana kama mchumba wa kufikiria kuposea watoto wao na uzuri wake tayari umetungiwa nyimbo na wacheza enanga vijana wa sehemu za kwao, ndipo hao Wazungu, wa kabila la Wajerumani, walipoingia kwenye Ufalme wa Ukerewe kwa namna isiyosahaulika.
Ni katika mwaka wa 1895, Kilihona alipokuwa msichana wa miaka kumi na tatu, tayari "amekwishagunduliwa" na wazazi wenye wavulana kama mchumba wa kufik...