• Wyszukiwanie zaawansowane
  • Kategorie
  • Kategorie BISAC
  • Książki na zamówienie
  • Promocje
  • Granty
  • Książka na prezent
  • Opinie
  • Pomoc
  • Załóż konto
  • Zaloguj się

Maisha Ni Kugharimia (School Edition) » książka

zaloguj się | załóż konto
Logo Krainaksiazek.pl

koszyk

konto

szukaj
topmenu
Księgarnia internetowa
Szukaj
Książki na zamówienie
Promocje
Granty
Książka na prezent
Moje konto
Pomoc
 
 
Wyszukiwanie zaawansowane
Pusty koszyk
Bezpłatna dostawa dla zamówień powyżej 20 złBezpłatna dostawa dla zamówień powyżej 20 zł

Kategorie główne

• Nauka
 [2946912]
• Literatura piękna
 [1852311]

  więcej...
• Turystyka
 [71421]
• Informatyka
 [150889]
• Komiksy
 [35717]
• Encyklopedie
 [23177]
• Dziecięca
 [617324]
• Hobby
 [138808]
• AudioBooki
 [1671]
• Literatura faktu
 [228371]
• Muzyka CD
 [400]
• Słowniki
 [2841]
• Inne
 [445428]
• Kalendarze
 [1545]
• Podręczniki
 [166819]
• Poradniki
 [480180]
• Religia
 [510412]
• Czasopisma
 [525]
• Sport
 [61271]
• Sztuka
 [242929]
• CD, DVD, Video
 [3371]
• Technologie
 [219258]
• Zdrowie
 [100961]
• Książkowe Klimaty
 [124]
• Zabawki
 [2341]
• Puzzle, gry
 [3766]
• Literatura w języku ukraińskim
 [255]
• Art. papiernicze i szkolne
 [7810]
Kategorie szczegółowe BISAC

Maisha Ni Kugharimia (School Edition)

ISBN-13: 9781499199352 / Swahili / Miękka / 2014 / 68 str.

Mathias E. Mnyampala; Dr Mathieu Roy; Charles Mathias Mnyampala
Maisha Ni Kugharimia (School Edition) Mathias E. Mnyampala Dr Mathieu Roy Charles Mathias Mnyampala 9781499199352 Createspace - książkaWidoczna okładka, to zdjęcie poglądowe, a rzeczywista szata graficzna może różnić się od prezentowanej.

Maisha Ni Kugharimia (School Edition)

ISBN-13: 9781499199352 / Swahili / Miękka / 2014 / 68 str.

Mathias E. Mnyampala; Dr Mathieu Roy; Charles Mathias Mnyampala
cena 24,01
(netto: 22,87 VAT:  5%)

Najniższa cena z 30 dni: 24,01
Termin realizacji zamówienia:
ok. 16-18 dni roboczych
Bez gwarancji dostawy przed świętami

Darmowa dostawa!

Mathias E. Mnyampala (1917-1969) is a famous Tanzanian lawyer, writer and poet who wrote in Kiswahili. The unpublished manuscript of his autobiography has been discovered in 2007 in Dodoma (United Republic of Tanzania) by Dr Mathieu Roy by finding the heir of the author. Roy then edited the manuscript for the first time in 2013. It was conserved in Dodoma with other unpublished manuscripts and rare literary archives by Charles M. Mnyampala, the second son of the author who received from his father the mission to conserve and publish these precious documents since 1969. This Kiswahili book is a light edition from the main paper book and contains only Mnyampala's autobiographical text with an introduction by Charles M. Mnyampala. Marehemu Mathias E. Mnyampala (1917-1969) aliandika habari za maisha yake wakati alipokuwa ameshaona kwamba anakomea mwisho wa uhai wake kutokana na kuumwa sana na ndwele miaka 1968-1969. Wakati huo alikuwa ameshakuza sana lugha ya Kiswahili kwa ufasaha wake wa kishairi na mambo mengine mengi pamoja yake vitabu vyake kuhusu historia ya Ugogo, siasa ya Ujamaa, dini na maisha ya wafu maarufu kama Mtemi Mazengo na Sheikh Kaluta Amri Abedi. Kwa sababu kumbe alifanikiwa sana kutoka utoto wake katika machunga ya Ugogo, bila kujua kusoma wala kuandika hadi umri wa kuoa mke na kulipa kodi, mpaka ubingwa wa lugha ya Kiswahili na utungaji wa idadi ya vitabu inayozidi ishirini na tano akiwa anadhaniwa na wataalamu wa ushairi wa Kiswahili na washairi wenzake wenyewe kuwa malenga mmoja mkuu wa Karne iliyopita. Alikuwa mzalendo mkubwa wa Taifa la Tanzania na alijitolea kabisa kueneza lugha yake Kiswahili maisha yake yote. Mchango wake Mathias E. Mnyampala kwa fasihi ya Kiswahili na Taifa lake ni tukufu, kadiri ya kupewa heshima kubwa ya Nishani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mheshimiwa Rais Ali Hassan Mwinyi mwaka 1994. Mswada huu ambapo marehemu Mathias E. Mnyampala anatusimulia habari za maisha yake binafsi ulibaki muda mrefu sana uliozidi miaka arobaini bila kupigwa chapa. Uligunduliwa mwaka 2007 mjini Dodoma na Dr Mathieu Roy na kupata kuhaririwa mwaka 2013. Mswada ulikuwa unahifadhiwa kwa makini sana na Charles M. Mnyampala, mtoto wa pili wa Mathias E. Mnyampala, kuanzia kifo cha baba yake mwaka 1969. Kwa mara ya kwanza, toleo hili kutoka shirika la DL2A - Buluu Publishing (Ufaransa) linawapa wasomaji watukufu na wapenzi wa Kiswahili nafasi ya pekee ya kugundua maisha ya mzungupule huyo wa Kiswahili na fasihi yake. Toleo hilo lenye bei nafuu limepunguzwa picha na kurasa kadhaa ukilingana na toleo kuu la kwanza. Mswada wote wa Maisha ni kugharimia ulinukuliwa kwa ukamilifu.


Zawartość książki może nie spełniać oczekiwań – reklamacje nie obejmują treści, która mogła nie być redakcyjnie ani merytorycznie opracowana.

Kategorie:
Literatura piękna
Kategorie BISAC:
Literary Collections > African
Wydawca:
Createspace
Język:
Swahili
ISBN-13:
9781499199352
Rok wydania:
2014
Ilość stron:
68
Waga:
0.11 kg
Wymiary:
22.86 x 15.24 x 0.41
Oprawa:
Miękka
Wolumenów:
01
Mnyampala, Mathias E. Mathias E. Mnyampala (1917-1969) is a famous Tanza... więcej >


Udostępnij

Facebook - konto krainaksiazek.pl



Opinie o Krainaksiazek.pl na Opineo.pl

Partner Mybenefit

Krainaksiazek.pl w programie rzetelna firma Krainaksiaze.pl - płatności przez paypal

Czytaj nas na:

Facebook - krainaksiazek.pl
  • książki na zamówienie
  • granty
  • książka na prezent
  • kontakt
  • pomoc
  • opinie
  • regulamin
  • polityka prywatności

Zobacz:

  • Księgarnia czeska

  • Wydawnictwo Książkowe Klimaty

1997-2025 DolnySlask.com Agencja Internetowa

© 1997-2022 krainaksiazek.pl
     
KONTAKT | REGULAMIN | POLITYKA PRYWATNOŚCI | USTAWIENIA PRYWATNOŚCI
Zobacz: Księgarnia Czeska | Wydawnictwo Książkowe Klimaty | Mapa strony | Lista autorów
KrainaKsiazek.PL - Księgarnia Internetowa
Polityka prywatnosci - link
Krainaksiazek.pl - płatnośc Przelewy24
Przechowalnia Przechowalnia